Kundi la watoto wanaolelewa kwenye kituo cha yatima kutoka Uganda maarufu mitandaoni Masaka kids, usiku wa jana walipata bahati ya kipekee kutumbuiza kwenye mechi ya ligi kuu ya soka Uhispania, Barcelona dhidi ya Valencia, iliyochezwa Uwanjani Montjuic.
Kundi la watoto wanaolelewa kwenye kituo cha yatima kutoka Uganda maarufu mitandaoni Masaka kids, usiku wa jana walipata bahati ya kipekee kutumbuiza kwenye mechi ya ligi kuu ya soka Uhispania, Barcelona dhidi ya Valencia, iliyochezwa Uwanjani Montjuic. Kwenye mchezo huo ambao Barca walibuka na ushindi wa 4-2, watoto hao walisherehesha wakati wa mapumziko.