Mon, 19 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kipa nyota wa timu ya taifa ya Argentina Emiliano Martinez amefanikiwa kuchukua tuzo ya kipa bora wa michuano ya kombe la dunia 2022, ambapo pia hii leo amefanikiwa kuikoa timu yake katika mikwaju ya penati.
Kipa nyota wa timu ya taifa ya Argentina Emiliano Martinez amefanikiwa kuchukua tuzo ya kipa bora wa michuano ya kombe la dunia 2022, ambapo pia hii leo amefanikiwa kuikoa timu yake katika mikwaju ya penati.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live