Sat, 14 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinda mlango wa ‘timu’ ya taifa ya Argentina, Emiliano Martínez anayecheza kwenye ‘klabu’ ya Aston Villa ya England amevunja ‘rekodi’ baada ya kufikisha dakika 622 bila ya kuruhusu bao katika lango la ‘timu’ hiyo.
Mlinda mlango wa ‘timu’ ya taifa ya Argentina, Emiliano Martínez anayecheza kwenye ‘klabu’ ya Aston Villa ya England amevunja ‘rekodi’ baada ya kufikisha dakika 622 bila ya kuruhusu bao katika lango la ‘timu’ hiyo. Martínez amefikisha dakika hizo bila kutoa ‘goli’, na kuipita ‘rekodi’ ya awali iliyowekwa na Sergio Goycochea ya mwaka 1991. .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live