Golikipa wa Argentina, Emiliano Martinez amepiga mnada glovu zake alizovaa kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia Qatar 2022 kwa Euro Elfu 42, sawa milioni 104.9 kwa pesa za Tanzania na kuchangia pesa hizo kwa watoto wanaougua saratani.
Golikipa wa Argentina, Emiliano Martinez amepiga mnada glovu zake alizovaa kwenye mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia Qatar 2022 kwa Euro Elfu 42, sawa milioni 104.9 kwa pesa za Tanzania na kuchangia pesa hizo kwa watoto wanaougua saratani. Emiliano amesema kwake ni muhimu zaidi kumsaidia mtoto kuliko kuweka glavu hizo kama kumbukumbu kwenye sanduku nyumbani.