Tue, 7 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Tottenham bado inapambana kuipata huduma ya golikipa wa Aston Villa, Emiliano Martinez, 30, ili akawe mbadala wa golikipa wao wa kimataifa wa Ufaransa, Hugo Lloris, 36, ambaye anatarajiwa kuondoka mwishoni mwa msimu huu.
Tottenham bado inapambana kuipata huduma ya golikipa wa Aston Villa, Emiliano Martinez, 30, ili akawe mbadala wa golikipa wao wa kimataifa wa Ufaransa, Hugo Lloris, 36, ambaye anatarajiwa kuondoka mwishoni mwa msimu huu. Spurs imekuwa ikihangaika kumpata mbadala wa Hugo kwa muda mrefu na kwa sasa Martinez ndiye anayepewa nafasi kubwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live