Wed, 14 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Arsenal, Martin Odegaard ni mchezaji wa kwanza kuweka rekodi tangu msimu wa 2003-04 ya kupiga pasi zilizofika zaidi ya 100 (107), kutengeneza nafasi (7), na kutoa asisti za mabao mawili katika mchezo mmoja wa Ligi Kuu England.
Kiungo wa Arsenal, Martin Odegaard ni mchezaji wa kwanza kuweka rekodi tangu msimu wa 2003-04 ya kupiga pasi zilizofika zaidi ya 100 (107), kutengeneza nafasi (7), na kutoa asisti za mabao mawili katika mchezo mmoja wa Ligi Kuu England.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live