Mon, 4 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kufanyiwa mabadiliko kwenye mechi ya usiku wa jana, (Disemba 2) dhidi ya Newcastle United, Anthony Martial ana kuwa hajacheza kwa dakika 90 kamili, zaidi ya miaka mitatu katika Premier League.
Martial alimpisha Rasmus Højlund dakika ya 61, United ikiwa tayari nyuma kwa goli moja lililofungwa na Anthony Gordon dakika ya 55.
Kipigo cha goli 1-0 kwa Manchester United kinawafanya wapoteza mara tatu mfululizo dhidi ya Newcastle United katika mashindano yote kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1922.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live