Tue, 28 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji Anthony Martial amethibitisha kuwa anaondoka Manchester United na amewaachia ujumbe mashabiki wa klabu hiyo kama ishara ya kuaga na kuanza maisha mapya kwa amani
Mshambuliaji Anthony Martial amethibitisha kuwa anaondoka Manchester United na amewaachia ujumbe mashabiki wa klabu hiyo kama ishara ya kuaga na kuanza maisha mapya kwa amani “Nashukuru kwa kila kitu mlichofanya juu yangu, nyimbo ,kunipa moyo na mapenzi yenu kwa Klabu hii ni kumbu kumbu itakayobaki kwenye moyo wangu milele”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live