Fri, 28 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limewateua marefa wa kike wa Tanzania, Florentina Zabron, Janeth Balama, Helen Mduma na Tatu Malogo kuchezesha mechi ya kufuzu Kombe la Dunia kwa Wasichana U17 baina ya Djibouti na Burundi kati yaMachi 4 na 6 Jijini Bujumbura.
Tazama picha za waamuzi wote waliochaguliwa hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live