Tue, 24 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kocha wa Leeds United, Marcelo Bielsa yupo mstari wa mbele kwenye orodha ya makocha wanaowaniwa na klabu ya Everton kuziba pengo la Frank Lampard aliyefungishwa virago siku ya Jumatatu.
Aliyekuwa kocha wa Leeds United, Marcelo Bielsa yupo mstari wa mbele kwenye orodha ya makocha wanaowaniwa na klabu ya Everton kuziba pengo la Frank Lampard aliyefungishwa virago siku ya Jumatatu. Bielsa (67) raia wa Argentina ameripotiwa kuwa tayari kuchukua mikoba ya Lampard baada ya kutokuwa na kazi tangu Februari mwaka jana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live