Sat, 23 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa zamani wa Yanga na Mtibwa Sugar, Mapinduzi Balama "Kipenseli" ameachana rasmi na klabu ya Coastal Union ya Jijini Tanga.
Kiungo wa zamani wa Yanga na Mtibwa Sugar, Mapinduzi Balama "Kipenseli" ameachana rasmi na klabu ya Coastal Union ya Jijini Tanga. Balama amemaliza Mkataba wake na anatajwa kujiunga na Klabu ya Mashujaa FC yenye maskani yake Mkoani Kigoma.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live