Wed, 13 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mapato ya Mchezo wa jana kati ya Morocco na Burkina Faso yatakayopatikana yote yatatolewa kwa ajili ya waathirika wa Tetemeko la Ardhi lililoikumba taifa La Morocco wiki iliyopita.
Mapato ya Mchezo wa jana kati ya Morocco na Burkina Faso yatakayopatikana yote yatatolewa kwa ajili ya waathirika wa Tetemeko la Ardhi lililoikumba taifa La Morocco wiki iliyopita. Katika mchezo huo Morocco waliibuka na ushindi wa bao 1-0 lililowekwa wavuni na Azzedine Ounahi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live