Fri, 7 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Hilal imefungua mazungumzo na Edward Manyama kuhusu kuhitaji saini yake.
Kocha Mkuu Florent Ibenge anavutiwa sana na mlinzi huyo ambaye alifanya Jitihada za kumsajili mwanzoni mwa msimu lakini Azam walilikataa dili hilo.
Singida Black Stars nao wapo katika harakati za kumfukuzia Manyama ili kuimarisha kikosi chao msimu ujao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live