Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa beki Edward Manyama kama mchezaji huru baada ya kumalizana na Azam Fc
Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa beki Edward Manyama kama mchezaji huru baada ya kumalizana na Azam Fc Manyama amesaini Mkataba wa miaka miwili ya kuitumikia klabu hiyo hadi 2026.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live