Sun, 19 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara, imeufungia Uwanja wa Manungu Complex ambao ni Uwanja wa nyumbani unaotumika na timu ya Mtibwa Sugar.
Bodi imeagiza uwanja huo ufanyiwe marekebisho kisha ukaguliwe kabla ya kuruhusiwa kutumika.
Aidha Bodi imeiagiza klabu ya Mtibwa kutafuta Uwanja mwingine ambao utatumika kwa ajili ya michezo yao.
Tazama hapa chini Taarifa ya Bodi ya Ligi;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live