Thu, 6 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa wa Polokwane City FC, Manuel Sapunga amejumuishwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Equatorial Guinea.
Sapunga msimu huu amefanikiwa kutokuruhusu goli katika mechi 12 kati ya 21 alizocheza msimu huu.
Ronwen Williams pekee ndio amemzidi akiwa na cleansheet 15.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live