Tue, 1 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Sadio Mane amefanyiwa vipimo vya afya na klab ya AL Nassr na hivi karibuni anatarajiwa kutambulishwa rasmi kama mchezaji mpya wa klabu hiyo.
Sadio Mane amefanyiwa vipimo vya afya na klab ya AL Nassr na hivi karibuni anatarajiwa kutambulishwa rasmi kama mchezaji mpya wa klabu hiyo. Mane alikuwa ni mchezaji wa Bayern Munich lakini ameambiwa atafute timu kwa kuwa hayupo katika mipango ya Kocha Thomas Tuchel.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live