Sat, 19 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Al Nassr FC ya Saudi Arabia imepoteza mechi mbili mfululizo za ufunguzi wa Ligi Kuu Nchini humo kufuatia kipigo kingine cha 2-0 dhidi ya Al Taawon FC.
Mabo ya Al Tawoon FC yamefungwa na Tawamba 20'Bahusayn 90+6'.
Katika mchezo wa kwanza Al Nassr anayochezea Nyota Cristiano na Sadio Mane ilipoteza dhidi ya Al Ettifaq inayonolewa la Steven Gerrald chini ya Nahodha Jordan Henderson.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live