Mon, 29 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester United imemtangaza Ralf Rangnick kuwa Kocha wao wa muda akichukua nafasi ya Ole Gunnar Solskjaer, alietimka klabuni hapo wiki chache zilizopita.
Manchester kwa sasa ipo chini ya mchezaji mwandamizi wa kikosi hicho Michael Carrick ambae ameshaiongoza katika michezo miwili akishinda mmoja na kutoa sare mmoja.
Rangnick ataiongoza United mpaka mwisho wa msimu, na atabaki kama mshauri klabuni hpo kwa angalau miaka miwili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live