Wed, 1 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester United imehusishwa kutaka saini ya Kiungo wa kati wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong, 25 msimu huu wa joto.
Klabu ya Manchester United imehusishwa kutaka saini ya Kiungo wa kati wa Barcelona na Uholanzi Frenkie de Jong, 25 msimu huu wa joto. Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amekuwa akijaribu kumtaka mchezaji huyo tangu dirisha kubwa la usajili lililopita lakini Barcelona waliweka ngumu kumuachia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live