Tue, 4 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United imeshindwa kupata ushindi na hata kufunga bao hata moja katika EPL tangu ilipotwaa ubingwa wa Kombe la Carabao.
Imeshindwa kupata ushindi katika mechi tatu mfululizo za Ligi Kuu kwa mara ya saba, na ya kwanza tangu Februari 2020. Imefungwa jumla ya mabao 9-0.
United walipokea kichapo cha mabao 7-0 kutoka kwa Liverpool, kisha ikatoa sare ya bila kufungana na Southampton na juzi Jumapili wakakubali kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Newcastle.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: