Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Manchester United kumteua Ralf Rangnick kuwa kocha wa muda

Skysports Football Ralf Rangnick 5595178 Ralf Rangnick

Thu, 25 Nov 2021 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Manchester United ambayo kwa sasa haina Kocha baada ya kumtimua Ole Gunnar Solskajaer wiki iliyopita, imeanzisha mazungumzo na Mjerumani Ralf Rangnick kuja kuziba nafasi ya Ole Gunnar mpaka mwisho wa msimu.

Rangnick amewahi kuvifundisha vilabu vya Hoffenheim, RB Leipzig vinavyoshiriki Ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundasliga.

Rangnick kwa sasa anafanya kazi kama mkurugenzi wa maendeleo ya soka katika klabu ya Lokomotiv Moscow ya nchini Urusi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live