Tue, 7 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester City inaripotiwa kupewa nafasi kubwa ya kunasa saini ya kiungo mkabaji wa West Ham United, Declan Rice, licha ya kuwindwa na klabu kibao za Ligi Kuu England.
Manchester City inaripotiwa kupewa nafasi kubwa ya kunasa saini ya kiungo mkabaji wa West Ham United, Declan Rice, licha ya kuwindwa na klabu kibao za Ligi Kuu England. West Ham waliripotiwa kugomea Pauni 100 milioni kutoka Man United mwaka jana, hivyo Rice aliendelea kubaki kwenye kikosi hicho kwa msimu huu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live