Tue, 18 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester City kutoka England imenyakua Tuzo ya Timu bora ya mwaka (2022).
Klabu ya Manchester City kutoka England imenyakua Tuzo ya Timu bora ya mwaka (2022). Manchester City walikabidhiwa Tuzo hiyo jana usiku nchini Ufaransa wakti wa utoaji wa Tuzo za Ballon D'or
Chanzo: www.tanzaniaweb.live