Tue, 16 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati joto la Dabi likizidi kupanda kuelekea Aprili 20, Aliekuwa Msemaji wa Yanga Haji Manara amezungumza tambo za timu yake kuelekea mchezo huo;
Wakipata sare dhidi yetu wasichinje Mbuzi maana mnyama huyo ni dhaifu katika Kafara. Wakipata sare wakachinje Ngamia Saba. Tuna timu ya kuwafunga zaidi ya mabao 5 tuliyowafunga katika mechi ya kwanza “
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: