Fri, 3 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya video ya Mama yake na Feisal Salum (Fei Toto) kusambaa kwenye mitandao ya kijamii na kuonekana kama vile Fei Toto ameonewa na Yanga huku akizitaka Mamlaka zinazosimamia suala hilo kusimamia haki.
Aliekuwa Afisa Habari wa Yanga haji Manara ameibuka na kusema kuwa inawezekana wapo watu ambao wanampotosha Mama yake na Fei, na anahitaji kuelimishwa vizuri kuhusu sakata la mwanaye na Yanga.
Msikilize kwa urefu hapa Chini Haji Manara akizungumza;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live