Thu, 11 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mzee Sunday Manara baada ya Yanga kupata ushindi mbele ya Marumo Gallants amewapongeza kwa utulivu waliocheza dhidi ya Yanga huku akiwapa mbinu za kufanya vizuri mchezo wa marudiano kule Afrika kusini.
Manara amezungumza namna ushindi huu ulivyo muhimu kwa Yanga katika kuukabili mchezo wa marudiano ugenini Afrika ya Kusini.
Manara anasema;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live