Sat, 9 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mabao mawili yote ya mikwaju ya penati kutoka kwa Bruno Fernandes na Marcus Rashford yameiwezesha Manchester United kuondoka na alama zote 3 mbele ya Everton kwa ushindi wa 2-0 kwenye muendelezo wa ligi kuu ya kandanda nchini England.
Mabao mawili yote ya mikwaju ya penati kutoka kwa Bruno Fernandes na Marcus Rashford yameiwezesha Manchester United kuondoka na alama zote 3 mbele ya Everton kwa ushindi wa 2-0 kwenye muendelezo wa ligi kuu ya kandanda nchini England. Ushindi huo umeifanya United kufikisha alama 47 baada ya michezo 28 kwenye nafasi ya 6 ya msimamo wa EPL.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live