Sun, 21 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Licha ya #ManchesterUnited kuongoza kwa magoli 3-0 hadi dakika ya 70 dhidi ya Timu ya #CoventryCity inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza (Championship) lakini hadi dakika 90 zinakamilika matokeo yalikuwa sare ya magoli 3-3.
Baada ya kuongeza dakika 30 katika Nusu Fainali hiyo, hakukuwa na mshindi ndipo Mchezo ukaamuliwa kwa matuta na Man United kushinda kwa penati 4-2.
Fainali ya CA Cup itapigwa Mei 25, 2024 kati ya Manchester City dhidi ya Man United (Manchester Derby), Uwanja wa Wembley Jijini London, #England.
Mdau wa soka unatarajia nini katika Fainali ya Manchester Derby?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live