Tue, 27 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester United inayoshiriki Ligi Kuu ya England EPL, Leo Juni 27 imetambulisha jezi mpya za nyumbani kwa msimu wa 2023/2024.
Jezi hizo za Manchester United zimetengenezwa na Kampuni ya Adidas na zilikuwa zikisubiriwa kwa hamu.
Je unaupa uzi wa Man United alama ngapi?Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live