Wed, 15 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester United imetangaza kuwa mlinzi wake Raphael Varane (31) raia wa Ufaransa amethibitisha kuwa ataondoka klabuni hapo mwisho wa msimu huu baada ya kuwatumikia Mashetani hao Wekundu kwa misimu mitatu.
Klabu ya Manchester United imetangaza kuwa mlinzi wake Raphael Varane (31) raia wa Ufaransa amethibitisha kuwa ataondoka klabuni hapo mwisho wa msimu huu baada ya kuwatumikia Mashetani hao Wekundu kwa misimu mitatu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live