Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Man United watua kwa kisiki hiki cha PSG

Ugarteee Manuel Ugarte

Wed, 26 Jun 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Manchester United ligi kuu Uingereza inahusishwa kuhitaji saini ya kiungo kati wa klabu ya PSG ya Ufaransa na timu ya Taifa Uruguay, Manuel Ugarte.

Ugarte ambaye yupo kwenye kambi ya timu ya Taifa ya Uruguay inayoshiriki michuanio ya kombe la mataifa ya America (Copa America) alionyesha kiwango bora kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi dhidi ya Panama, Uruguay ikishinda 3-1.

Ugarte anatajwa kuchukua nafasi ya Casemiro anayetajwa kuhitajika na timu za Saudi Arabia.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live