Mtendaji mkuu wa Klabu ya Manchester United, Richard Arnold amewaambia wafanyakazi wa klabu hiyo kwamba Mshambuliaji wao aliyeko njia panda Mason Greenwood atarudishwa kwenye kikosi Cha kwanza muda si mrefu.
Mtendaji mkuu wa Klabu ya Manchester United, Richard Arnold amewaambia wafanyakazi wa klabu hiyo kwamba Mshambuliaji wao aliyeko njia panda Mason Greenwood atarudishwa kwenye kikosi Cha kwanza muda si mrefu. Pia Uongozi wa Man United kupitia Mtendaji mkuu umewaomba wadau na wapenzi wa Man United kuwa wavumilivu kipindi hichi ambacho wanapitia uchunguzi wa mwisho kutoa uamuzi juu ya hatma ya mchezaji huyo.