Fri, 3 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Man United inawatazamia makocha Zidane Zidane na Kocha wa Sporting CP Ruben Amorim kama mbadala wa Kocha Eric Ten Hag.
Man United kwa sasa imekuwa na matokeo mabovu na inatajwa kuwa ipo mbioni kuachana na Kocha Erik Ten Hag.
Je Unadhani Zidane ni mtu sahihi kuifundisha Man United? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live