Thu, 28 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United imeweka nia ya kumsajili beki wa kati Aaron Anselmino anayekipiga Boca Juniors ya nchini Argentina ambaye inasemekana kiasi cha £15.8m kipo kwenye mkataba wake kama release clause yake.
Manchester United imeweka nia ya kumsajili beki wa kati Aaron Anselmino anayekipiga Boca Juniors ya nchini Argentina ambaye inasemekana kiasi cha £15.8m kipo kwenye mkataba wake kama release clause yake. Real Madrid C.F. pia inataka huduma ya kijana huyo mwenye nguvu na akili kubwa ya kuzuia washambuliaji wakorofi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live