Sat, 4 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bao la dakika ya 90 na ushei la nyota Mreno, Bruno Fernandes limeipa Manchester United ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Craven Cottage Jijini London.
Bao la dakika ya 90 na ushei la nyota Mreno, Bruno Fernandes limeipa Manchester United ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Fulham katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Craven Cottage Jijini London. Kwa ushindi huo, Manchester United inafikisha pointi 18 na kusogea nafasi ya saba, wakati Fulham inabaki na pointi zake 12 nafasi ya 12 baada ya wote kucheza mechi 11.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live