Wed, 31 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa kulia wa Manchester United Diogo Dalot amesaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia klabuni hapo hadi Juni 30, 2028.
Beki wa kulia wa Manchester United Diogo Dalot amesaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia klabuni hapo hadi Juni 30, 2028. Dalot anaonekana kupewa nafasi na Kocha Ten Hag ambae hajapendezwa na staili ya uchezaji ya Wan Bissaka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live