Fri, 17 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United wako mbioni kupeleka ofa ya £105m ili kuipata saini ya mshambuliaji wa wa Eintrancht Frankfurt,na timu ya taifa ya Ufaransa Randel Kolo muani (24)
Manchester United wako mbioni kupeleka ofa ya £105m ili kuipata saini ya mshambuliaji wa wa Eintrancht Frankfurt,na timu ya taifa ya Ufaransa Randel Kolo muani (24) Inasemekana United wataingia vitani na PSG ambao kwa muda mrefu wanahitaji huduma ya nyota huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live