Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Katika mechi 6 zilizopita za EPL, Timu ya Manchester United ndio timu pekee iliyovuna point nyingi zaidi, ikivuna point 15.
Man United kwa sasa inakamata nafasi ya 6 katika msimamo wa EPL ikiwa nyuma kwa alama 6 tu dhidi ya kinara Arsenal.
Je Man United anaweza kuingia kwenye mbio za Ubingwa? Tupe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live