Thu, 16 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United wanashikilia rekodi ya kuwa timu pekee ambayo imeruhusu mabao sita au zaidi katika mechi mbili za Ligi Kuu England msimu huu.
Manchester United wanashikilia rekodi ya kuwa timu pekee ambayo imeruhusu mabao sita au zaidi katika mechi mbili za Ligi Kuu England msimu huu. Walianza kwa kuchapwa na mahasimu wao Manchester City mabao 6-3 katika mchezo wa mzunguko wa kwanza kabla ya kuchapwa tena na Liverpool mabao 7-0 na hivyo kubaki wenyewe tu ambao nyavu zaidi ziliguswa kwa mabao yanayozidi sita mara mbili tofauti.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live