Mon, 23 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bukayo Saka amekuwa mchezaji wa watatu wa Arsenal kufunga bao kwenye michezo mitatu mfululizo dhidi ya Manchester United katika premier league, baada ya Freddie Ljungberg (1998-200) na Thierry Henry (2000-2002).
Bukayo Saka mwenye miaka 23 ndiye mchezaji mdogo zaidi katika historia ya Arsenal kuwahi kufanya hivyo.
Bukayo Saka dhidi ya Manchester United katika premier league
Michezo 7
Mabao 3
Pasi za mabao 2
Takwimu za Bukayo Saka msimu huu katika premier league hadi sasa
michezo 19
Dakika 1629
Mabao 7
Pasi za mabao 7
Amehusika katika mabao 12
Chanzo: www.tanzaniaweb.live