Thu, 9 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Miongoni mwa mechi iliyokuwa na msisimuko kwenye UEFA jana usiku ni Manchester United dhidi ya wenyeji wao FC Copenhagen iliyomalizika kwa Man United kufungwa mabao 4-3.
Tayari katika kundi A Bayern Munich imefuzu hatua ya 16 bora baada ya ushindi wa jana ikiichapa Galatasaray mabao 2-1 na kufikisha pointi 12.
Nani kuungana na Bayern kutoka kundi A?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live