Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester United ipo kwenye mchakato wa kutafuta mlinzi wa kati 2024 kwani eneo hilo limeonekana kuwa na pengo zaidi.
Baadhi ya walinzi waliopendekezwa ni pamoja na Jean-Clair, Antonio Silva kutoka Benfica na Edmond Tapsoba kutoka Bayer Leverkusen.
Pendekezo la kwanza kabisa lilikuwa Benjamin Pavard ambapo dili lilikufa baada ya Harry Maguire kushindwa kujiunga na West Ham.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live