Mon, 6 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United wana matarajio makubwa ya kupata pauni milioni 100 kwa kuwauza wachezaji wake wawili Jadon Sancho na Mason Greenwood kwenye drisha kubwa la usajili.
Manchester United wana matarajio makubwa ya kupata pauni milioni 100 kwa kuwauza wachezaji wake wawili Jadon Sancho na Mason Greenwood kwenye drisha kubwa la usajili. Wawili hao kwa sasa wako kwa mkopo, Borussia Dortmund na Getafe na haijawekwa wazi kama watapigwa bei ama la.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live