Wed, 24 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United wanaripotiwa kuweka dau kubwa la kumnunua beki wa Inter Milan Alessandro Bastoni kabla ya dirisha la usajili la majira ya kiangazi.
Manchester United wanaripotiwa kuweka dau kubwa la kumnunua beki wa Inter Milan Alessandro Bastoni kabla ya dirisha la usajili la majira ya kiangazi. Tetesi zinasema Man United wako tayari kutoa Euro milioni 60 kwa mchezaji huyo, hata hivyo Inter Milan ikiwa bado hawajaongea lolote kuhusu ofa hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live