Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Golikipa Andre Onana amerejea kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon hii maana yake ni kwamba ifikapo mwezi januari atakosa michezo takribani 7 ya Man United akiwa kwenye majukumu ya timu ya taifa wakati wa AFCON.
Golikipa Andre Onana amerejea kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon hii maana yake ni kwamba ifikapo mwezi januari atakosa michezo takribani 7 ya Man United akiwa kwenye majukumu ya timu ya taifa wakati wa AFCON. Onana mpaka sasa ameshacheza michezo minne ya Mashindano akiwa katika jezi ya Man United na kuruhusu mabao 8.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live