Wed, 24 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester United ipo kwenye mazungumzo na kampuni ya uzalishaji maudhui ya Disney kwa ajili ya kuandaa 'Documentary' inayoihusu Manchester United.
Maudhui hayo yatalenga zaidi mafanikio ambayo waliyapata Manchester United kipindi cha utawala wa kocha Sir Alex Ferguson.
Kwa mujibu wa ripoti zinaeleza kuwa, kiwango ambacho Disney wamewasilisha kwa sasa ni kidogo kulinganisha na kile walichowasilisha awali wakati wanapeleka wazo lao Manchester United miaka mingi iliyopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live