Sat, 27 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United wako tayari kumuachia Raphael Varane kuondoka klabuni hapo kama mchezaji huru.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 31 atakuwa mchezaji huru mwishoni mwa msimu huu na Manchester United hawana nia ya kumuongezea mkataba.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa analipwa mshahara mkubwa na 'Mashetani wekundu' wanataka kumuondoa kwenye daftari lao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live