Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Man United kuachana na Varane

Varane Azima Tetesi Za Kuhamia Saudia Rafael Varane

Sat, 27 Apr 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Manchester United wako tayari kumuachia Raphael Varane kuondoka klabuni hapo kama mchezaji huru.

Beki huyo mwenye umri wa miaka 31 atakuwa mchezaji huru mwishoni mwa msimu huu na Manchester United hawana nia ya kumuongezea mkataba.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa analipwa mshahara mkubwa na 'Mashetani wekundu' wanataka kumuondoa kwenye daftari lao.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live