Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Manchester United imeondolewa mara tatu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya katika misimu saba hatua hiyo kwenye mashindano hayo tangu alipostaafu Sir Alex Ferguson.
Manchester United imeondolewa mara tatu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya katika misimu saba hatua hiyo kwenye mashindano hayo tangu alipostaafu Sir Alex Ferguson. Mara nyingi zaidi kuliko ilivyocheza misimu 18 chini ya Kocha Fergie.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live