Wed, 5 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Arsenal inapewa nafasi kubwa ya kupata saini ya Kiungo wa SL Benfica Joao Neves Tofauti na wapinzani wake Manchester United.
Klabu ya Arsenal inapewa nafasi kubwa ya kupata saini ya Kiungo wa SL Benfica Joao Neves Tofauti na wapinzani wake Manchester United. Kwa muda mrefu Klabu ya Man nited imekuwa ikihusishwa na Uhamisho wa Sta huyo lakini hivi sasa Arsenal wanaonekana kuingilia dili hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live